Sunday 22 December 2013

NDUNI BAINIFU ZA KONSONANTI

Strident = Sauti zenye ukelele wa frikwensi ya juu wakati wa utamkaji. Sauti hizo ni baadhi ya vikwamizi na vizuio-kwamizi:  [+stridenti] = /f, v, s, z, ʃ,  č, j/
Sonoranti = Wakati wa utamkaji mzuio wake si mwembamba kiasi cha kubana mkondo wa hewa kwenye glota; hali hii husababisha ughuna; Irabu, viyeyusho, vitambaza, na ving’ong’o ni sanoranti.
Anteria = Sauti yoyote inayotamkwa kuanzia kwenye ufizi hadi kwenye midomo.
Korona = Wakati wa utamkaji bapa la ulimi huinuliwa na kusogeleana au kugusishwa kwenye meno ya juu, ufizi wa juu na nyuma ya ufizi au baada-ufizi. Sauti zenye sifa hii ni: /t, d, s, z, ʃ, ʒ, Ɵ, ð, tʃ, ʤ, l, r, j

1 comment: